Subscribe:

Ads 468x60px

Monday, October 7, 2013

Washiriki wanne wanaoiwakilisha Tanzania kwenye Tusker Project Fame 6.

Tusker Project Fame 6,Tanzania imepata kuwakilishwa na washiriki wanne ambao ni Angel, 23 yrs, Hisia 21 yrs, Tanah 21 yrs na Dubson 25yrs, wako kwenye list ya zaidi ya wasanii 15 kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki.
Endelea kufwatilia mashindano haya ili ujue jinsi ya kuwapa support watanzania wenzetu kwenye mashindano hayo.

3 comments:

Anonymous said...

Congrats to all.

Anonymous said...

All the best jaman.

Rose Boaz said...

Big up guys