Subscribe:

Ads 468x60px

Sunday, October 27, 2013

Wema Sepetu Afiwa Na Baba Yake Mzazi

 
Mwigizaji mahiri katika tansia ya filamu Tanzania ambae pia ni Director wa Endless Fame, Mwanadada Wema Sepetu amepatwa na msiba.
Wema amefiwa na Baba yake mzazi leo asubuhi kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu kidogo. Shughuli za msiba zitafanyikia Sinza, Dar -Es -Salaam karibu na Meeda nyumbani kwa mama yake mzazi Wema Sepetu.

0 comments: