Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday, September 24, 2013

(Photo's) Yaliyojiri kwenye bday party ya DJ CHOKA pale NYUMBANI LOUNGE


Dj Choka akikata keki.

Wakwanza kulishwa keki alikuwa Lady Jay Dee.

Wa pili kula keki alikuwa mama mtoto wa Dj Choka, anaitwa mama Harrison



Wadogo wa  Dj Choka, Neema na Judy wakiwa na Mama Harrison 

Lady Jay Dee na Mama Harrison

Monica, Rachel Temu na Mama Harrison

0 comments: