Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday, February 4, 2014

Chelsea Yaichapa Man City

Ikiwa ni muendelezo Ligi ya Uingereza,jana kulikuwa na mechi ngumu kati ya Manchester City V Chelsea. Chelsea walitoka kifua mbele kwa kuchalaza Man City bao moja kwa bila huku wakiwa wamevunja rekodi ya Manchester City kushindwa kufunga bao katika mechi za nyumbani tangu mwaka 2010.
Bao la Chelsea lilifungwa na Branislav Ivanovic dakika ya 32' katika kipindi cha kwanza. Huku mchezaji Nemanja Matic akiwa ndo 'Man of The Match'
Kutokana na mechi hiyo Manchester City na Chelsea zina alama sawa lakini Mancity imefunga mabao mengi.

0 comments: