Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday, February 11, 2014

Tatoo's Mpya za Jose Chameleone


Mwanamuziki wa mkali toka Uganda Jose Chameleone  hitmaker wa Valu Valu,Badilisha na Tubonge ambaye kwa sasa yupo South Africa kwenye ziara yake ya kimuziki,ameamua kuwa surprise mkewe ‘Daniela’ na watoto wake kwa kipekee kwa kuchora tattoo mwilini mwake.
Jose Chameleone alifunguka haya baada ya kujichora tattoo hizo.. ”2014 we stand tall for the ones we care for and those that love us back with their whole” 

 Hizi ndio picha za Tatoo alizochora Chameleone..

0 comments: