Subscribe:

Ads 468x60px

Tuesday, February 11, 2014

[Photo's] Filamu Mpya Toka kwa Lupita Nyong'o

Lupita Amondi Nyong'O ni Muigizaji na Muongozaji wa filamu toka nchini Kenya, alizaliwa  Machi 1, 1983. Muigizaji huyu aliyetamba na filamu kama “12 Years a Slave” iliyobamba na kumpatia umaarufu zaidi mwaka 2013 pamoja na kumpatia tuzo, hivi sasa yupo mbioni kuachia filamu yake mpya Februari 28.

Hizi ni baadhi ya picha kwenye Movie yake mpya..




0 comments: